March 25, 2025 09:53:30 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Wanamgambo wamemteka naibu waziri wa maswala ya kigeni katika serikali inayotambuliwa kimataifa nchini Libya.


Maafisa wanasema kuwa Hassan al Saghir alitekwa nyara kutoka chumba chake cha hoteli katika mji wa mashariki wa Al-Baida mapema jumapili.

Haijulikani ni kundi gani lililotekeleza kisa hicho.

Utekaji nyara umekuwa jambo la kawaida nchini Libya,ambapo serikali mbili zinapigania udhibiti huku makundi tofauti ya wanamgambo yakikabiliana.
 Chanzo>>BBC

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
25 Jan 2015

Post a Comment

 
Top