Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Maji yakiwa yamejaa katika uelekeo wa kituo cha Sayansi kutokea Bamaga-Mwenge.
Basi likipita kwenye maji yaliyofurika.
Mkazi wa jiji akikatiza kwenye barabara iliyojaa maji eneo hilo.
Wananchi wakitafakari namna ya kuvuka maji yaliyotuama barabarani.
Baadhi ya maeneo na vibanda yakiwa yamezingirwa maji.
MVUA ya muda mfupi iliyonyesha jijini Dar es Salaam na maeneo ya jirani asubuhi ya leo iliyaacha maeneo mengi yakiwa yamejaa maji na kusababisha shida kubwa kwa wakazi wa jiji hili.  Baadhi ya maeneo yaliyokumbwa na kadhia hiyo ni Bamaga-Mwenge ambako mitaro yenye kusafirisha maji ilijaa na maji kufurika hadi katika barabara na kufanya magari na waenda kwa miguu kupata shida.
(Na Gabriel Ng’osha/GPL)

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top