Kwenye Hekaheka ya leo Jan 19 inatokea Dar inamhusu Binti mmoja aliyepelekwa Oman na mtu aliyemfahamu kwa ajili ya kufanya kazi za ndani, lakini hakuwa na maisha mazuri kutokana na manyanyaso makubwa aliyoyapata kwa bosi wake ambaye ni mtanzania anayeishi huko.
Baada ya kufanya kazi kwa wiki mbili yalianza manyanyaso kutoka kwa bosi wake na familia yake ikiwemo vitisho vya kuuwawa, alipoomba arejeshwe nyumbani walimkatalia, akaamua kutoroka.
Njiani alikutana na mtu aliyemsaidia kwenda kituo cha Polisi na baada ya maelezo bosi wake alipigiwa simu na kufika kituoni kutoa maelezo, wakafikia muafaka wa binti huyo kurudi kwa bosi wake kuendelea na kazi.
Aliporudi manyanyaso yalizidi ikiwemo bosi huyo kuwaamuru watoto wake kumdhalilisha na kumnyima mshahara, alijifanya kachanganyikiwa kwa kuanza kupiga kelele, bosi wake akaamua kumkatia tiketi ili arudi nyumbani bila kumpa hela yoyote.
Bonyeza play kusikiliza Hekaheka yote ya leo January 19.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Utata wa picha za utupu za msichana huyu kwenye mitandao sasa zamtokea puani26 Mar 20150
Kama ni mpenzi wa Hekaheka nakusogezea hii iliyosikika leo mtu wangu, inatoka Shinyanga ambapo k...Read more ?
- Ukatili: Hekaheka ya leo, mama alimmwagia mtoto wake maji ya moto04 Feb 20150
Nimekuwekea Hekaheka ya leo February 04, inatokea Buguruni Dar inahusu mama ambaye amekuwa na ta...Read more ?
- Hekaheka ya leo inamhusu msichana aliyepelekwa Oman kufanya kazi za ndani.19 Jan 20151
Kwenye Hekaheka ya leo Jan 19 inatokea Dar inamhusu Binti mmoja aliyepelekwa Oman na mtu aliyemf...Read more ?
- Hekaheka, Inahusu mwanaume aliyechoma moto nguo za mke wake na watoto13 Jan 20150
Kama ulipitwa na Hekaheka ya leo January 13 inatokea maeneo ya Kimara Dar, inahusu mw...Read more ?
- Hekaheka ya leo, Inamhusu Mama anayejisaidia kwenye ndoo! story iko hapa08 Jan 20150
Hekaheka ya leo Jan8, inatokea huko Shinyanga, ambapo watu wanaishi nyumba moja wamemla...Read more ?
- Hekaheka Nesi Aliruhusu Mtoto Aliyezaliwa Kuzikwa Kumbe Alikuwa Hai..Story iko hapa06 Jan 20150
Mama mmoja mjamzito alikwenda Hospitali ya Mkoa Morogoro siku ya jana, alipofika hospitali hapo ha...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Kweli wabongo wanyama, yaani huyo dada anaelezea mateso aliyopata na watangazaji walikuwa na upeo mdogo wanachambua hiyo issue bila ya kufikiria. Inaonekana hajawahi kuishi nje ya Bongo.
Post a Comment