Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Naija
Kutoka Nollywood, story hazikuwa kwa siku ya leo, wengi huenda hawakuamini kutokana na uvumi uliokuwa ukienea mitandaoni kwamba muigizaji Muna Obiekwe amefariki, lakini huo ulikuwa uvumi ambao ulikanushwa, hii ilitokana na muigizaji huyo kuumwa kwa muda mrefu ambapo alikuwa akisumbuliwa na tatizo la figo.
Staa huyo wa filamu za Nigeria  amefariki jana mchana akiwa hospitali jijini Lagoskutokana na ugonjwa huo wa figo.
Wasanii wenzake pamoja na ndugu zake walifahamu kuhusu ugonjwa wake, kuna wakati aliwahi aliwaambia marafiki zake kwamba amepanga kuandaa show ya maigizo ya jukwaani ili kupata fedha za matibabu na hakuwa tayari kutangaza ili watu wakusanye michango kwa ajili ya matibabu.
Mastaa mbalimbali wa Nigeria wameshtushwa na kifo cha msanii mwenzao na wengine kuandika kupitia mitandao ya kijamii.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top