Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
awards

Mwezi September 2014 H Baba aliamua kuja na tuzo zake ambazo zilikua zikihusisha familia yake pekee na kuzipa jina la Tuzo za Familia ambazo zilihudhuriwa na viongozi wa Filamu na Muziki.

TUZO2
Mwaka huu anazifanya tena lakini kasema anaongeza categories ambazo hazikuwepo mwaka jana, akizungumza na millardayo.com,  H Baba amesema; “mwaka huu zitakuwepo tena,kwa sababu zile ndizo tuzo bora kwangu mimi

Kwa sababu tuzo bora inaenda kwa haki kama msanii na unastahili kupewa mwaka jana nilitoa tuzo 4, ambazo ni msanii bora wa filamu ambapo alikuwa Frola Mvungi na Mtumbuizaji Bora wa mwaka alijipa mwenyewe“– H Baba.
Mwaka jana nilimpa mtoto wangu tuzo moja,mwaka huu nampa 10 maana ya kumpa 10 ili mwanangu anapokua aone tuzo za kawaida,hizi tuzo naamua tu kuwa mke wangu ana mguu mzuri nampa,ana macho mazuri nampa“– H Baba.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top