Mwezi September 2014 H Baba aliamua kuja na tuzo zake ambazo zilikua zikihusisha familia yake pekee na kuzipa jina la Tuzo za Familia ambazo zilihudhuriwa na viongozi wa Filamu na Muziki.
Mwaka huu anazifanya tena lakini kasema anaongeza categories ambazo hazikuwepo mwaka jana, akizungumza na millardayo.com, H Baba amesema; “mwaka huu zitakuwepo tena,kwa sababu zile ndizo tuzo bora kwangu mimi“
“Kwa sababu tuzo bora inaenda kwa haki kama msanii na unastahili kupewa mwaka jana nilitoa tuzo 4, ambazo ni msanii bora wa filamu ambapo alikuwa Frola Mvungi na Mtumbuizaji Bora wa mwaka alijipa mwenyewe“– H Baba.
“Mwaka jana nilimpa mtoto wangu tuzo moja,mwaka huu nampa 10 maana ya kumpa 10 ili mwanangu anapokua aone tuzo za kawaida,hizi tuzo naamua tu kuwa mke wangu ana mguu mzuri nampa,ana macho mazuri nampa“– H Baba.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Diamond kuwania tuzo 5 za Afrima 2016, Alikiba na Yamoto Band moja08 Sep 20160
Diamond Platnumz ametajwa kuwania vipengele vitano kwenye tuzo za mwaka huu za Afrima. Vipeng...Read more ?
- Ujumbe wa Diamond kwa bintiye Wazua Gumzo......Kamwambia "Ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana"23 Jul 20160
Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii. Lakini ujumbe wake mpya...Read more ?
- Bifu Kali Kati ya Diamond na Clouds Media23 May 20160
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa Diamond na brand kubwa ya radio na tv Clouds Fm, bifu la hadh...Read more ?
- Afande Sele Aungana Na Mbunge Joseph Msukuma Kuitaka Serikali Ihalalishe Matumizi Ya Bhangi02 Feb 20160
Msanii mkongwe wa hip hop nchini, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumiz...Read more ?
- Gari Jipya Analomiliki Masanja Mkandamizaji.10 Jan 20160
Msanii wa Vichekesho Anawakilisha kundi la Orijino Komedi anayejulikana kama Masanja Mkand...Read more ?
- Zari The Lady Boss Awakosha Mashabiki wa Penzi lake na Diamond Kwa Picha Hizi09 Jan 20160
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ amewakosha mashabiki wa penzi lake na Diamond ‘Baba Tiffah’ baada...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment