Mwigizaji mrembo wa filamu hapa Bongo,Faiza Ally ameyasema hayo iliwa ni maoni yake juu ya swala la wapenzi kuitana baby.
“Leo kuna wakati nilikua nasikiliza Clouds fm nika sikia kuna wanaume hawapendi kuitwa baby!! wanahisi ni fake na wanaibiwa, kusema kweli mimi binafsi sipendi kumuita mwanaume mzima na akili zake na ndevu zake eti baby siwezi kutamka kwa sababu naona fake na mm mwenyewe sipendi kuitwa baby , kuna majina Mengi Kama honey ,darling mpenzi ni sawa japo mimi siyatumii pia binafsi napenda kumuita mtu jina lake na mimi niitwe langu au afadhali hata niitwe honey Lakini ilo pia huyo mtu awe ana maanisha sio tu mmekutana siku mbili tatu mnabandikana majina agh au uta sikia hubby , mume wangu hapo hamjaoana mpo mpo tu mahusiano hayaeleweki basi mmeshaanza kuitana mke wangu,mume wangu kweli jamani ? sio kudanganyana huko? Majina hayo kila moja Lina nafasi yake tuache ku fake sana jamani! mwisho wa siku una danganya nafsi yako na kujipa madaraka si yako!!! TAFAKARI CHUKUA HATUA”-Faiza alimaliza.
Nawe pia unamaoni gani juu ya hili?..
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Maneno ya Batuli Kuhusiana na Moto Uliyo Teketeza Nyumba yake Jana Akiwa Kwenye Uzinduzi wa Kampeni CCM24 Aug 20150
Staa wa Bongo movie Batuli, leo amepatwa na ajali ya kuungulia nyumba yake kwa moto wakati akiw...Read more ?
- Baba Haji Ashangilia Anguko La Wema Sepetu..Afurahia Wema Sepetu Kushika Nafasi ya Mwisho31 Jul 20150
STAA wa filamu Bongo, Adam Haji ‘Baba Haji’ juzikati aliangusha sebene la nguvu kwenye Viwanja ...Read more ?
- Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka..Adai yeye Ajagalagazwa Ovya Kama Hao Wengine wa Bongo Movies.....31 Jul 20150
Nora Bongo Movies Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uig...Read more ?
- Mapenzi Yamtokea PUANI Davina24 Jul 20150
Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahaya amedaiwa kutoswa na mwanaume aliyemuachanisha na mumewe...Read more ?
- Batuli kufuata nyayo za Kanumba, ajipanga kuandaa filamu yenye bajeti kubwa24 Jul 20150
Msanii wa filamu nchini, Yobnesh Yussuf maarufu kama Batuli amesema mashabiki wake wa filamu was...Read more ?
- Nora: Bongo Movie Wamesharibu Sanaa ya Uigizaji Tanzania...Huwezi Kaa na Wazazi Wako Ukaangalia Movie Wataharibu Hali ya Hewa tu20 Jun 20150
MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ amedai kuwa ‘Bongo Movies’ wameharibu sanaa ya ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment