Jamaa mmoja alisababisha kizaazaa baada ya kuvamia chumbani ambako mtu na mkewe walikuwa wamelala.
Fununu zinasema jamaa huyo baada ya tukio hilo alimhoji mkewe kwamba huyo aliyeingia bila hodi chumbani kwao wakiwa wamelala ni nani?
Baada ya jamaa huyo, Calvin Murapata kutoridhishwa na majibu ya mke wake Nomagugu Ncube alimpiga na kumchania nguo, ambapo mwanamke huyo alifungua mashtaka kituo cha Polisi, Zimbabwe.
Mwanamke huyo aliwahi kushinda taji la mitindo katika nchi hiyo, amekiri kuwa na uhusiano na jamaa huyo aliyevamia chumbani humo kutokana na mume wake kuwa busy.
Ncube amefungua mashtaka kudai fidia ya nguo alizochaniwa.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Ni Kosa Kumwangalia Mwanamke Kwa Sekunde 14 Nchini India19 Aug 20160
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamelalamika kuhusu tamko la afisa mmoja aliyesema kuwa ni kinyu...Read more ?
- Pichaz: Ajali za kuchekesha… zinazotokea alafu unatamani kujua kama ni kweli na ilikuwaje?30 Jul 20150
Kuna ajali nyingine kwenye hizi picha unaona kabisa hii inawezekana ilitokea lakini kasoro ajali...Read more ?
- Nikiridhishwa KITANDANI sharti nimsifie mume Wangu- Joyce Kiria24 Jul 20150
Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria ametoa kali ya mwaka kwa kueleza kuwa, akis...Read more ?
- Njiwa mwenye Hirizi Asababisha Timbwili Baa09 Jun 20150
Timbwili la aina yake lilizuka mwishoni mwa wiki iliyopita baada njiwa aliyekuwa amefungwa hiriz...Read more ?
- Siku Moja Kabla ya Ndoa...Bi Harusi Agoma Kuolewa...Bwana Harusi Aangua kilio, Pilau Ladoda29 May 20150
Chande Abdallah na Deogratius Mongela KIMENUKA! Ikiwa ni siku moja tu kabla ya kufungw...Read more ?
- Makubwa! Bibi Harusi Atoweka Siku 4 Kabla ya Ndoa Yake28 May 20150
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Juma Mwinyivue maarufu kama ‘Tabambwa’ (28) mkazi wa...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment