MSANII wa filamu Bongo, Salim Omary ‘Slim’ hivi karibuni alitoa kali ya mwaka baada ya kufunga sambusa ukumbini na kuondoka nazo kwa kile alichodai hana wa kumpikia.
Msanii wa filamu Bongo, Salim Omary ‘Slim’ akifungasha sambusa hizo.
Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita kwenye Ukumbi wa Akemi, Golden Tower, Posta jijini Dar ambapo kulikuwa na uzinduzi wa filamu ya Wekeza Inalipa iliyowakutanisha wasanii kutoka nchi mbalimbali za Afrika Mashariki.
Baadhi ya wasanii wenzake waliokuwa ukumbini hapo walionekana wakimshangaa na kumuuliza kulikoni kuchukua sambusa za shughuli na kuzifungasha kwenye pochi ya msanii mwenzake, Jack Pentzel ‘Jack Chuz’.
“Kwa sasa sina mke baada ya kuachana naye hivyo naishi hivi, sambusa hizi zitanisaidia asubuhi kunywa chai,” alisikika Slim akiwajibu wasanii wenzake.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- VIDEO: Mama Wema Aeleza Beef yake na Man Fongo Kisa……..09 Sep 20160
NI Mama Wema Sepetu ambae ameingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kutofautiana na mkali wa ...Read more ?
- Busu la Nelly Kamwelu shavuni kwa Diamond akiwa na Wizkid lawatoa povu mashabiki (Video)25 Aug 20160
Haipiti wiki bila Diamond kuwatoa povu mashabiki, hata kama alichokifanya si kwamba alidhamiria...Read more ?
- Picha za Masanja na Mke wake Zazua Maswali Kwa Mashabiki wake..Wadai Mke wa Mchungaji Apaswi Kuvaa Hivyo19 Aug 20160
Baada ya Harusi ya Mchekeshaji Masanja na Mkewe iliyofungwa Jumapili iliyopita wawili hao wameon...Read more ?
- AUDIO: Kitu Diamond kasema kuhusu yeye kuwa mapenzini na Hamisa Mobetto03 Aug 20160
Ukaribu wako kwenye mitandao ya kijamii siku za karibuni unaweza kuwa ulikukutanisha na stori...Read more ?
- Shamsa Ford Amuweka Wazi Mpenzi wake Mpya03 Aug 20160
Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amefunguka na kusema kuwa baada ya kuachana na mpenzi wake wa...Read more ?
- Madai: Flora Amwangukia Mbasha30 Jul 20160
Habari ya mjini ni Mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha kudaiwa kumwangukia mumewe waliyetengana, Em...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment