March 19, 2025 10:52:10 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Kim Kardashian anadaiwa kupewa ofa ya dola milioni 1 ili kula baada jioni moja na mtoto wa familia ya kifalme ya Sauti Arabia.



Mrs Kardashian-West anatarajia kusafiri hadi Saudi Arabia mwezi January, kama mgeni maalum wa mtoto huyo. Ofa hiyo ilitangazwa na Adel Al-Otaibi kwenye akaunti ya Kim ya Instagram.



‘I’m Saudi and I’ll pay you one million per night Mai,” aliandika kwenye maoni.

Na sasa mtandao wa udaku wa MediaTakeOut umeripoti kuwa Kim amekubali ofa hiyo na ataenda mwakani. Kim bado hajathibitisha ripoti hizo ambazo zinadaiwa kuwa gumzo Saudi Arabia.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
12 Dec 2014

Post a Comment

 
Top