Home
»
Entertainment
» Muonekana wa vazi la Rihanna kwa mara ya kwanza katika uchangishaji fedha za kusaidia jamii
Mwanadada Rihanna ameendelea ‘kumake’ Headlines na safari hii ameweza kuonyesha uwajibikaji wake baada ya kufanya tamasha la kwanza kwa mwaka huu lililolenga kusaidia kuchangisha fedha kwa ajili yakusaidia jamii.
Katika tukio hilo muhimu na la kwanza ambalo lilijulikana kwa jina la Diamond Balllimemeweza kufanya vyema usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Beverly Hills,Carlifonia Marekani huku likihudhuriwa na mastaa mbalimbali.
Akiwa amevalia gauni refu la hshima lililonakshiwa na mkufu wa silva wenye kito kinachofanana na rangi ya gauni sambamba na’makeup’
Onyesho hilo lililojulikana kama Diamond Ball lenye lengo kuinua mfuko wake wa Clara Lionel.
Akiwa sambamba na mtangazaji wa shughuli hiyo Brand Pitt wageni waalikwa walikua wakipata burudani mbalimbali za muziki pamoja na chakula ambapo dhumuni la shoo hiyo ilikua kuchangia fedha kwa ajili kusaidia familia zinazohitaji msaada katika masuala ya afya,elimu,sanaa pamoja na utamaduni.
Baadhi ya mastaa wengine waliokuwepo usiku huo ni Kim Kardashian, Kris Jenner, Big Sean, Tyrese Gibson, Salma Hayek, Neyo, Fabolous, Kat Graham, Nikki Reed, Adrienne Bailon, Ellen Pompeo, Jimmy Kimmel na wengine wengi.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Diamond kuwania tuzo 5 za Afrima 2016, Alikiba na Yamoto Band moja08 Sep 20160
Diamond Platnumz ametajwa kuwania vipengele vitano kwenye tuzo za mwaka huu za Afrima. Vipeng...Read more ?
- Ujumbe wa Diamond kwa bintiye Wazua Gumzo......Kamwambia "Ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana"23 Jul 20160
Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii. Lakini ujumbe wake mpya...Read more ?
- Bifu Kali Kati ya Diamond na Clouds Media23 May 20160
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa Diamond na brand kubwa ya radio na tv Clouds Fm, bifu la hadh...Read more ?
- Afande Sele Aungana Na Mbunge Joseph Msukuma Kuitaka Serikali Ihalalishe Matumizi Ya Bhangi02 Feb 20160
Msanii mkongwe wa hip hop nchini, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumiz...Read more ?
- Gari Jipya Analomiliki Masanja Mkandamizaji.10 Jan 20160
Msanii wa Vichekesho Anawakilisha kundi la Orijino Komedi anayejulikana kama Masanja Mkand...Read more ?
- Zari The Lady Boss Awakosha Mashabiki wa Penzi lake na Diamond Kwa Picha Hizi09 Jan 20160
Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ amewakosha mashabiki wa penzi lake na Diamond ‘Baba Tiffah’ baada...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment