Home
»
Bongo movie
» Mtunisi Amjibu Batuli, Asema siku hizi akikuumiza nawe muumize tu ilimradi mgawane maumivu
Tugawane Maumivu ni filamu mpya iliyotoka hivi karibuni kutoka kwa muigizaji na muongozaji wa filamu, Nice Mohammed maarufu kama Mtunisy.
Akizungumzia maendeleo ya kazi hii sokoni, Mtunisy aliwashukuru mashabiki na wapenzi wote aliomuunga mkono kwa kununua kazi yake na kuwaomba waendelee kumuunga mkono.
“Ahasanteni wapendwa kwa sapoti yenu kubwa mlioionyesha kwa kununua film yangu mpya hakika nimeamini huwezi kuchukiwa na wote hii imedhihilisha ktk kz yangu hii ya TUGAWANE MAUMIVU na kuifanya iwe ndio habari ya mjini kwa sasa nawaomba endeleeni kuniunga mkono wapendwa mungu awabariki sana amen ijumaa kareem”.
Mashabiki wengi waneonysha kuipenda na kuikubali kuwa ni kazi nzuri na ina dhana mpya ambayo imewagusa wengi, akizungumzia mrejesho huu Mtunisy alisema “Nashukuru ndugu zangu siku hizi mtu akikuumiza nawe muumize tu mradi mugawane maumivu iweje yeye akuumize na asiumie bwana!tuumizane tu habari ndio hiyo”.
Hiyo ndio dhana nzima ya filamu hiyo ya Munisy, TUGAWANE MAUMIVU ambayo imejumuisha wakali kama, Chuchu Hans, Rammy Galis, Mukly Ismail na Nice Mohammed mwenyewe. imefanyika chini ya STEPS entertainment.
Jipatie nakala yako halisi kumsapoti wasanii wetu wa Tanzania.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Maneno ya Batuli Kuhusiana na Moto Uliyo Teketeza Nyumba yake Jana Akiwa Kwenye Uzinduzi wa Kampeni CCM24 Aug 20150
Staa wa Bongo movie Batuli, leo amepatwa na ajali ya kuungulia nyumba yake kwa moto wakati akiw...Read more ?
- Baba Haji Ashangilia Anguko La Wema Sepetu..Afurahia Wema Sepetu Kushika Nafasi ya Mwisho31 Jul 20150
STAA wa filamu Bongo, Adam Haji ‘Baba Haji’ juzikati aliangusha sebene la nguvu kwenye Viwanja ...Read more ?
- Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka..Adai yeye Ajagalagazwa Ovya Kama Hao Wengine wa Bongo Movies.....31 Jul 20150
Nora Bongo Movies Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uig...Read more ?
- Mapenzi Yamtokea PUANI Davina24 Jul 20150
Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahaya amedaiwa kutoswa na mwanaume aliyemuachanisha na mumewe...Read more ?
- Batuli kufuata nyayo za Kanumba, ajipanga kuandaa filamu yenye bajeti kubwa24 Jul 20150
Msanii wa filamu nchini, Yobnesh Yussuf maarufu kama Batuli amesema mashabiki wake wa filamu was...Read more ?
- Nora: Bongo Movie Wamesharibu Sanaa ya Uigizaji Tanzania...Huwezi Kaa na Wazazi Wako Ukaangalia Movie Wataharibu Hali ya Hewa tu20 Jun 20150
MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ amedai kuwa ‘Bongo Movies’ wameharibu sanaa ya ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment