Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mhe. January Makamba amezindua Kundi la Kaone Sanaa Group Dar Live usiku wa kuamkia leo, hapa akiwa katika picha ya pamoja baada ya uzinduzi huo.
Wasanii wa Kaole wakiwa stejini
...Akiongea na wanahabari mara baada ya kuwasili Dar Live
...Akiwa katika picha ya pamoja na Kaone
...Akiongozwa na Meneja Mkuu wa Dar Live, Abdallah Mrisho kwenda meza kuu
...Akiwa meza kuu na viongozi wa Kaone
....Msanii Msaga Sumu akifanya vitu vyake jukwaani
PICHA: ABDUL MOHAMED/GPL

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top