Wakati wapinzani wao wa jadi Real Madrid wakiwa wapi nchini Morocco kushiriki michuano ya kombe la dunia kwa vilabu, FC Barcelona leo imefanikiwa kuisogelea Madrid kileleni na kubakisha pengo la pointi moja tu.
Wakicheza katika dimba lao la Camp Nou, FC Barcelona leo wameiadhibu Cordoba magoli 5-0 katika mchezo wa ligi kuu ya nchi hiyo.
Pedro alianza kufungua ukurasa wa magoli mwanzoni kabisa mwa mchezo, dakika ya 2, goli ambalo lilidumu mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika.
Kipindi cha pili, dakika ya 53, baada ya kusubiri kwa mechi zaidi ya 10, hatimaye mshambuliaji Luis Suarez alifunga goli lake la kwanza katika ligi kuu ya Spain.
Gerard Pique akaongeza goli la 3 dakika ya 80, kabla ya Lionel Messi kufunga mengine mawili dakika ya 82 na 90 na kuhitimisha ushindi wa 5-0.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Ujumbe wa Samatta kwa Waliotamani Genk Ingepangwa Kundi Moja na Man United28 Aug 20160
Mchana wa August 26 2016 shirikisho la soka barani Ulaya UEFA lilichezesha droo ya kupanga makund...Read more ?
- Cristiano Ronaldo ashinda tuzo ya mwanasoka bora Ulaya26 Aug 20160
Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ametangazwa kuwa mwanasoka bora Ulaya. Ron...Read more ?
- Makundi ya klabu Bingwa Ulaya 2016/201726 Aug 20160
Droo ya kupanga Makundi ya klabu Bingwa Ulaya 2016/2017 ratiba kamili ya hatua ya makundi ya Uefa ...Read more ?
- MICHEZO Bilionea anayetaka kuinunua Simba, ametaja kilichomsikitisha katika mkutano wa Simba01 Aug 20160
Siku moja baada ya mkutano mkuu wa Simba kufanyika na kukubali kupitisha maadhimio ya mabadilik...Read more ?
- Gonzalo asajiliwa na Juventus kwa pauni milioni 7528 Jul 20160
Klabu ya Juventus wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Argentina, Gonzalo Higuain kutoka klabu...Read more ?
- Hongera Yanga kwa mlipofika, tujipange upya28 Jul 20160
Ni muda mrefu soka la Tanzania kwenye ngazi za vilabu limeonekana kuzorota kufuatia vilabu vyake k...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment