Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
.
.

Mazishi ya msanii Geez Mabovu ambaye alikuwa maarufu kwenye muziki wa Hiphop Tanzania, yamefanyika leo nyumbani kwao Iringa katika makaburi ya Mlolo.
Mabovu amefariki dunia kwenye hospitali alikokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam akisumbuliwa na maradhi ya kifua.
Ndugu, jamaa, marafiki, wasanii na watu mbalimbali wamejitokeza kushiriki katika mazishi hayo.
Hizi ni baadhi ya picha za mazishi ya msanii huyo.
image-13-11-14-06-32-2
IMG_3073
IMG_3076IMG_3081
Msafara wa Mazishi
image-13-11-14-06-32-3
image-13-11-14-06-32
Kaburi
Marafiki Mazishi

image-13-11-14-06-32-1
Baba wa Geez

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
13 Nov 2014

Post a Comment

 
Top