Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Tumuute Crying Beauty kwa picha hizi. Mrembo na shemeji/wifi yetu wa Uganda, Zari The Bosslady alijikuta akibubujikwa na machozi kutoka na na picha na maelezo aliyopewa kwenye jumba la makumbusho ya mauaji ya kimbari ya Rwanda, lililopo kwenye mji mkuu, Kigali.
10865175_951987918163712_1494929224_n
Akiambatana na mchumba wake, Diamond Platnumz, Zari alishindwa kujizuia kulia kutokana na kumbukumbu ya kusikitisha ya mauaji hayo ya mwaka 1994 ambapo yapata watu 500,000–1,000,000 walipoteza maisha nchini humo.
“Everyone has a breaking point…. I was so touched,” aliandika mrembo huyo kwenye picha inayomuonesha akilia. “Women and children were raped then killed…. sad story. God bless you more Rwanda,” aliandika kwenye picha nyingine.
10899061_1587656218122656_1969652915_n
10865229_695792127204309_1443170291_n

Mkono kwa mkono: Diamond na Zari wakiingia kwenye makumbusho ya mauaji hayo

10903744_1519335171669573_1648014323_n
B6HNCZHCAAAJlQX
10891075_1556049474637070_1013048964_n

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top