Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

               Siku ya kwanza atakuja na chupi 2, moja
anaifua
anaacha bafuni,nyingine anavaa asubuhi
anaondoka...
Siku ya 2 anakuja na khanga,anaivaa
usiku,asubuhi
anaianika nyuma ya mlango anaondoka...
Siku ya 3 anasahau pete na hereni juu ya meza
anakwambia 'Hny nitunzie nimesahau hereni
zangu
mezani'
Siku ya 4 anakuja na nguo 2 na vipedo vya
kubadilisha na viatu pea 2,anavua high heels
anaweka kwenye Shoe rack,asubuhi anaondoka
na
flat shoes kwenda chuo..
Baada ya mwezi chumba chako kinakuwa na
vitu
kadha wa kadha,na ole wako uvihamishe
alipoacha,kesi zinaanza...Hao ndo Wanawake

wa
kileo,akija na begi zima si utamuuliza Vipi
mwenzangu na utamkimbiza...Anahamia
taratibu..
Mwisho wa siku dressing table yako iliyokuwa
ina
perfume na mafuta ya Rays inakuwa imejaa
hereni
na 'Foundation'... My Brother,huna haja ya
kuuliza,NDO KASHAHAMIA HUYO....Kifuatacho
utaambiwa,''Honey I miss my days',Zamani
nilijua
ni Simu za mkononi tu ndo zina Missed

Calls,Siku
hizi kuna Missed days,ukiambiwa hivi tu jua
imekula kwako,inawindwa ndoa...
Bonyeza hapa kuungana nasi facebook

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top