Licha ya kuwa na kikosi chenye fowadi kali na ghali, Barcelona ikiwa nyumbani Camp Nou imekubali kipigo cha bao 1-0.
Bao lililofingwa na mshambuliaji Joaquin Larrivey wa Celta Vigo limeimaliza Barcelona yenye wakali kama Lionel Messi, Luis Suarez na Neymar.
Bonyeza hapa kuungana nasi facebook
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro









Post a Comment
Post a Comment