Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa katika matembezi ya amani.
Baadhi ya mabango yakiwa na ujumbe tofauti.
Askari polisi wakisimamia ulinzi wa watembeaji hao.
Hivi ndivyo matembezi yalivyokuwa.
Waumini wa kike wa Kiislam wakiimba.
…Wakiimba na kucheza baada ya matembezi
WAUMINI wa msikiti wa Masjid Ghadiri uliopo Kigogo Post, jijini Dar es Salaam, leo wamefanya matembezi kuanzia Ilala mpaka Kigogo, kwa ajili ya kuhimiza na kuhamasisha amani kwa Watanzania na walimwengu kwa ujumla.
Ni siku ambayo, mjukuu wa pili wa Mtukufu Mtume Muhammad (S.A.W.) na watu wa karibu yake waliuawa kikatili katika jangwa la Karbala nchini Iraq na miili yao kukatwakatwa kwa amri ya Yazid bin Muawiyah, mtawala dhalimu wa ulimwengu wa Waislam kwa wakati huo.Hayo yamesemwa na Shehe Hemed Jalala, Imam wa Masjid Ghadiri Kigogo Post alipowaongoza mamia ya waumini katika matembezi hayo.
(Habari/Picha na: Gabriel Ng’osha/GPL)
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Ten Signs She'll Make a Bad Wife-Men Read This20 Apr 20150
If you’re thinking of asking your girlfriend to become your wife, deciding if you’re ready to ma...Read more ?
- I cant Help..Am in love with my Boss..and He Cant Notice it ..What Should i Do20 Mar 20150
My boss at the office is young and Handsome , he is about 29 yrs old and according to what i h...Read more ?
- Jerry Muro: Nipo Tayari kurudi ITV Hata Usiku wa Manane15 Feb 20150
Jamaa anasema alienda kusoma na alipirudi akakuta kibarua chake kimeota ngaro Ila anakiri ITV n...Read more ?
- Baada ya Kukosea Kufunga Vifungo vya Suti, Wassira Aamua Kumtafuta Sheria Ngowi ili Amtengenezee Suti zake12 Feb 20150
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); BAADA ya kuandamwa sana katika mitanda...Read more ?
- Vyoo vya Kujisaidia Ukiwa Umekaa vina Starehe Lakini vina Madhara Makubwa Kwa Binadamu23 Jan 20150
Choo cha Kukalia Nyumba nyingi mijini na ofisi mbalimbali zinazojengwa hivi sasa, huwekewa vyoo ...Read more ?
- Inasikitisha Sana: Akaa Miaka Mitatu Muhimbili Bila Matibabu Ya Aina Yoyote20 Jan 20150
Kijana Amosi Ng’arare Marale Sasi,(22) anayesumbuliwa na uvimbe usoni.Alikuja Muhimbili ili...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment