Basi linalotumia kinyesi na uchafu wa vyakula laanza kutumika nchini uingereza.
Basi la kwanza nchini Uingereza linalotumia kinyesi na uchafu unaotokana na chakula limeanza safari yake ya kwanza.
Bio
Bus,lenye viti 40 na ambalo linatoa huduma ya uchukuzi kati ya Bath na
uwanja wa ndege wa Bristol ,linaweza kusafiri hadi maili 186 kwa kutumia
tangi moja la gesi.
Gesi hiyo hupatikana kupitia kutibu maji taka na uchafu wa chakula usiofaa kwa matumizi ya binaadamu.
Uchafu
unaopatikana katika abiria wa basi moja unaweza kutumiwa kutoa kawi ya
kulisafarisha basi hilo kutoka Lands End hadi John O'Groats.
Basi
hilo ambalo limepewa majina kadhaa ya kutungwa likiwemo lile la Basi la
pili linapongezwa kama njia mojawapo ya kuchochea usafiri wa uma huku
ukiimarisha ubora wa hewa jijini.
Gasi inayotumiwa kuliendesha
gari hilo hutoka katika mradi wa maji taka wa Bristol ambao husimamiwa
na GENeco ambyo ni kampuni tanzu ya Wassex Water.
Mohammed
saddiq,meneja mkurugenzi wa kampuni ya GENeco ,anaamini chakula na maji
taka yanaweza kutoa kawi ya Biomethane inayotoa gesi katika shirika la
kitaiafa la gesi inayoweza kutoa gesi yenye uwezo wa kutumika katika
nyumba 8,500 mbali na kuliendesha basi hilo la Bio.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- kama siku yako haijafika ni haijafika tu… tazama hizi dakika 9 uone watu wanavyokoswakoswa18 Dec 20150
Ni kumuomba Mungu tu siku zote na kama hajapanga hiyo siku iwe ya mwisho kwako, hata iweje haitak...Read more ?
- Leo nimekuletea hii utazame barabara 10 hatari kwenye hii dunia! kosa moja tu la dereva….14 Jul 20150
Kuna sehemu za hatari sana duniani ambazo unaambiwa ukifanya kosa moja tu unajiweka k...Read more ?
- AJABU:Mwanaume Apandikiziwa Uso wa Mtu Mwingine Baada ya Uso wake Kuaribika na Kuwekewa Sura ya Mtu aliyekufa31 May 20150
Picha ikimwonyesha Norris kabla hajapata ajali, alivyopata ajali na baada ya kuwekewa uso mwingin...Read more ?
- Maajabu: Kila mtu na starehe yake…lakini ya bibi huyu ni kula mchanga kila siku!!15 May 20150
Kibonajoro.com iliwahi kuandika stori ya mama mmoja Evelyne kutoka Missouri, Mare...Read more ?
- Maajabu! Mwanadada Ajifungua 'NAZI' badala ya Mtoto,Ushirikina watajwa30 Apr 20150
Maajabu! Msichana aliyefahamika kwa jina la Dora mkazi wa Magomeni Bagamoyo mkoani Pwani, hivi k...Read more ?
- Ajabu na kweli Ng'ombe Awala Kondoo Kenya, Akataa Kula Majani...(Video)!!24 Apr 20150
Mkulima mmoja nchi Kenya anasema kuwa mmoja wa ng'ombe wake amesusia lishe yake ya kawaida na...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment