Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Fuso likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana uso kwa uso na basi la Simba Mtoto.
Basi la Simba Mtoto baada ya ajali.
Taswira kutoka eneo la ajali.

Muonekano wa fuso hilo.
BASI la Simba Mtoto lenye namba za usajili T 501 BRZ lililokuwa linasafiri kutoka mkoani Tanga kwenda Dar es Salaam limegongana uso kwa uso na fuso la Mohammed Enterprises lenye namba za usajili T 507 BAE lililokuwa likitokea jijini Dar jana.
Katika ajali hiyo, dereva wa fuso amepoteza maisha papohapo huku watu wawili ambao pia walikuwa katika fuso hilo wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitali.

Ajali hiyo imetokea katikati ya Daraja la Mto Wami mkoani Pwani baada ya fuso kufeli breki.
(PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779)
Bonyeza Hapa kuungana nasi facebook

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top