Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
MENINA LA DIVA
Meninah ambaye ni zao kutoka Bongo Star Search miezi michache iliyopita ameripotiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Diamond Platnumz huku mwenyewe akikana mara kadhaa kila anapopata nafasi ya kulizungumza hili.


Kupitia kisehemu cha You heard kwenye kipindi cha XXL Soudy Brown amekuja na stori inayohusu hali inayosemekana anayo kwa sasa Meninah kwa kile kinachosemwa ana ujauzito wa Diamond Platnumz.
menina
Meninah ameanza kwa kusema>>’Hapana sina ujauzito,siko na Diamond pia sina mimba sina ujauzito kwani hizo habari unazitoa wapi?mimi sina mimba wala ujauzito,siko nae na sifatilii haya mambo’

Alipoulizwa na Soudy Brown kuhusu kutajwa na Diamond kama wife material Meninah amesema ‘Hapana hakuna kitu kama hicho naweza kuwa wife lakini sijawa tayari kuwa wife material.

Bonyeza play kumsikiliza Meninah akiongea na Soudy Brown.
Bonyeza Hapa kuungana nasi facebook

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top