Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This





Muonekano wa basi la Florida baada ya ajali hiyo kutokea.


Basi la Kimotco likiwa pembezoni mwa barabara baada ya ajali hiyo.


Abiria waliokuwa wakisafiri katika mabasi ya Kimotco na Florida leo asubuhi walinusurika baada mabasi hayo kugongana uso kwa uso katika barabara ya Iringa-Dodoma leo saa moja na nusu asubuhi. Basi la Kimotco husafiri kati ya Iringa na Arusha na lina namba za usajili T449 CAL wakati Florida  husafiri  kati ya Migoli  na Iringa na lina namba za usajili T571 BDX.



Kwa mujibu wa mashuhuda, ajali hiyo  ilisababishwa na kona katika eneo husika na mwedo kasi wa mabasi yote mawili.
Source Global whatsapp
Kibonajoro.com ndio mtandao wako kwa habari za ndani na nje, Tuwe pamoja huku pia >> Facebook 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top