Wanandoa James Gaskell (kushoto) na Alexandra (kulia) wamekutwa wamefariki ndani ya chumba karibu na jengo la Taj Mahal, nchini India.
Wanandoa James Gaskell (27)na mke wake Alexandra (24) walimu katika chuo cha Manchester International College, wenye shahada ya kwanza wamekutwa wamefariki ndani ya chumba karibu na jengo la Taj Mahal, nchini India. Watu hao wanasadikiwa kufariki Jumatatu iliyopita na kugundulika jana.
Kibonajoro.com ndio mtandao wako kwa habari za ndani na nje, Tuwe pamoja huku pia >> Facebook
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro









Post a Comment
Post a Comment