Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Wanandoa James Gaskell (kushoto) na Alexandra (kulia) wamekutwa wamefariki ndani ya chumba karibu na jengo la Taj Mahal, nchini India.

Madawa yaliyokutwa katika chumba chao.
Madaktari na polisi wakifanya uchunguzi ndani ya chumba hicho.
Hoteli ya Maya waliyokutwa wanandoa hao wamefariki karibu na Tajganj, India.

Wanandoa James Gaskell (27)na mke wake Alexandra (24) walimu katika chuo cha Manchester International College, wenye shahada ya kwanza wamekutwa wamefariki ndani ya chumba karibu na jengo la Taj Mahal, nchini India.  Watu hao wanasadikiwa kufariki Jumatatu iliyopita na kugundulika jana.
Kibonajoro.com ndio mtandao wako kwa habari za ndani na nje, Tuwe pamoja huku pia >> Facebook

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top