March 16, 2025 04:12:51 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
serengeti-fiesta

Lile Tamasha la Fiesta lililokua lifanyike tarehe 27 , mwaka huu kule mtwara limehairishwa kwasababu zilizo nje ya uwezo wa waandaaji. Mmoja wa waandaaji hao , Sebastian Maganga aliandika haya kwenye ukurasa wake wa instagram : “Kamati kuu ya maandalizi ya serengeti fiesta inatoa taarifa kwa wapenzi, mashabiki, na wafuatiliaji wa tamasha la serengeti fiesta mkoani Mtwara ya kwamba kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa kamati, tamasha hili la serengeti fiesta halitafanyika mtwara siku ya jumamosi tarehe 27 mwezi huu katika uwanja wa Nangwanda Sijaona kama ilivyotangazwa awali.taarifa kuhusu lini tamasha hili litafanyika zitawafikia pindi ambapo mipango itawekwa sawa..kamati inachukua fursa hii kuwaomba radhi wapenzi na mashabiki wote wa serengeti fiesta kwa usumbufu wowote utakaojitokeza..

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
25 Sep 2014

Post a Comment

 
Top