Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mmiliki wa mtandao wa ngono wa Vivid, Steve Hirsh amesema mkanda wa ngono wa rapper Iggy Azalea unaweza ukauza kuliko ule wa Kim Kardashian na Ray J.
iggy-azalea-01-2014-billboard-650
Rapper wa Houston, Jefe Wine ndiye anayedaiwa kurekodi mkanda huo akifanya mapenzi na Iggy. Wine anadai kuwa Iggy alikuwa akijua kuwa wanarekodi mkanda huo licha ya yeye kudai hakuwa na taarifa.
Hirsh, amesema ameshakutana na Wine kufanya makubaliano ya kuununua. Wanasheria wa Iggy Azalea wamesema wamejiandaa kuchukua hatua za kisheria kutokana na mkanda huo.

Kama ni kweli Iggy yupo kwenye tape hiyo haiwezi kutolewa kihalali bila ridhaa yake.


    Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

    Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

    Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
    http://www.facebook.com/kibonajoro

    Post a Comment

     
    Top