Mwezi uliopita Shilole alienda Nairobi, Kenya kushoot video ya single yake mpya ‘Namchukua’, video ambayo imeongozwa na director Kevin Bosco Jnr. Shilole amesema video hii imemgharimu si chini ya shilingi milioni 10. Hii ni teaser ya video hiyo inayotarajiwa kutoka ‘soon’.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment