MSANII wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’ amefunguka kuwa tangu ameanza kujihusisha na mambo ya sanaa hajawahi kuwa na bwana ndani ya klabu ya Bongo Movies na wala hajawahi kutoa rushwa ya ngono kwa ‘dairekta’ kama ilivyo kwa wengine.
Msanii wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Sandra alisema kuna baadhi ya wasanii wanafikiri kuwa na mwanaume ndani ya Klabu ya Bongo Movie ndiyo kutimiza ndoto zao kumbe ni kujidharaulisha tu.
“Sina bwana wala sijawahi kutoa rushwa ya ngono kwa ‘dairekta’ na sifikirii kufanya hivyo kamwe, maana ni kujishushia heshima yangu wakati mimi ni mke wa mtu na wala siwezi kunadi mwili wangu,” alisema Sandra.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Bodi ya Mikopo yatangaza majina 1,091 ya wadaiwa Ambao Hawataki Kulipa (Awamu ya kwanza).....Bonyeza Hapa Ujitazame Kama na Wewe Jina Lako Lipo28 Jul 20160
Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB), inawaarifu wadaiwa wote ambao mpaka hivi sa...Read more ?
- Picha:Uzinduzi Wa Kitabu Cha Kanumba Hapo Jana12 Jan 20150
NAIBU Waziri wa Kazi na Maendeleo ya Vijana, Makongoro Mahanga, jana amezindua rasmi kitab...Read more ?
- Odama: Ndoa Haitanifanya Niache Filamu08 Jan 20150
Na Laurent Samatta MCHEZA filamu za Kibongo Jennifer Kyaka ‘Odama’, amedai kuwa mwanaume a...Read more ?
- Baby Madaha: Nikifa Nisizikwa Katika Makaburi ya Kinondoni06 Jan 20150
WAKATI baadhi ya wasanii wa hapa jijini, Dar wakifa huzikwa hapahapa, jambo hilo limekuwa ni ...Read more ?
- MCHUMBA: MASOGANGE KANISALITI22 Nov 20140
STORI: Musa MatejaMCHUMBA wa Video Queen maarufu Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ aitwaye Evance K...Read more ?
- KAJALA MASANJA ATAMANI KUPATA MTOTO WA PILI22 Nov 20140
MWIGIZAJI Kajala Masanja amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto wa pili kwani tayari aliyenaye am...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment