Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Superstar wa music wa Bongofleva, Tanzania Diamond Platnumz ananga kuachia nyimbo nyingine mbili kwa mpigo baada ya kuachia Mdogo mdogo ambayo bado inatamba kwasasa huku akikimbiza katika nominations za tuzo mbalimbali za kimataifa.
"“Tusubirie kidogo, baada ya miezi miwili mitatu tutaongea kwa sababu kuna kazi zinakuja, Diamond anarelease ngoma mbili mfululizo na zote zimetoka nje. Lakini hatuwezi kueongea sasa hivi hadi muda ufike.:   alisema Babu Tale ambaye ni meneja wa Diamond Platnumz akizungumza na mtandao wa Times fm

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top