Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Wafungwa wawili wamepigwa risasi na kufa wakati wakijaribu kutoroka katika mahakama moja nchini Afrika Kusini, mamlaka zinasema.
Afisa kutoka wizara ya sheria ameliambia shirika la habari la Afrika Kusini -SAPA- kuwa wafungwa hao waliokuwa wakisubiri kesi yao kusikilizwa, walichukua bunduki iliyokuwa imefichwa kwenye pipa la taka.
Kulikuwa na kurushiana risasi na maafisa wa polisi.
Tukio hilo limetokea katika mahakama kuu ya Mthatha iliyopo katika jimbo la Eastern Cape.
BONYEZA HAPA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top