Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
snuraaaKupitia singo zake za Majanga,Nimevurugwa na Ushaharibu zimefanya Tanzania na nje ya Tanzania kumfahamu Snura ambaye style ya muziki wake na namna ambavyo anaperfoam on stage imemfanya kuwa na mashabiki wengi.

Mezani kwa Soudy Brown kuna  stori ambazo zimesambaa kuwa Snura ni mjamzito ndiyo sababu inayomfanya kutosikika vizuri kama mwanzo,Meneja wake HK amezungumzia hili,baada ya Snura mwenyewe kutopatikana.

Bonyeza play kusikiliza.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top