Msemaji wa Apple ameeleza kwamba ni wateja wanane tu ndio ambao waliopeleka malalamiko ya kupinda kwa simu zao aina ya iPhone 6 Plus.

Kampuni ya Apple Inc ilijikuta ikiingia kwenye hasara ya kujimudu mnamo siku ya Alhamisi, ikizungumzia kile kilichokuja kujulikana kama 'BendGate' kwa kusema kuwa malalamiko ya wateja juu ya tatizo hilo la iPhones ni machache sana tofauti na ukaribu wa ukweli wenyewe.
'Katika utumiaji wa kawaida, kupinda kwa iPhone ni kitu ambacho ni nadra sana na katika kipindi cha siku sita cha mauzo, jumla ya wateja nane waliwasiliana na Apple wakiwa na na tatizo la kupinda kwa iPhone 6 Plus,' Msemaji wa Apple Trudy Muller alisema kupitia email.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment