| Nyuki bana, nao wana yao. Katika mechi ya Ligi Kuu Bara, Jumapili iliyopita wakati Mtibwa Sugar ikiivaa Yanga, waliwakimbiza wachezaji wa Mtibwa. Wachezaji hao walikuwa wanashangilia bao lililofungwa na mwenzao Mussa Hassan Mgosi, ghafla nyuki hao wakaibuka na wachezaji hao wakalazimika kutimua mbio. |
Post a Comment
Post a Comment