Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Gari dogo likiteketea kwa moto leo maeneo ya Msamvu mkoani Morogoro. 
Gari la zimamoto likiwa limefika na kuanza kazi ya kuuizima moto huo.



Zoezi la uzimaji wa moto huo likiendelea. 

Wananchi wakishuhudia janga la moto lililotokea.
  • Bonyeza Hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top