
Hili kaweka wazi leo katika ukurasa wake wa facebook. TEAM UKWANZA inapeleka hongera zake kwa mwanadada Lady Jaydee
(Commando) kwa mafanikio makubwa aliyoyapata kutokana na hii tasnia ya muziki, Hongera sana LADY JAYDEE.Picha aliyoweka leo na ujumbe wake
Tuzo yangu ya 30. Asanteni kwa ushirikiano, nimeipokea na ninarudi nayo nyumbani. Shhhhhh! !!! Kimya Kimya
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment