Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja maarufu wa kijamii
nchini, mwigizaji wa vichekesho na filamu nchini, Kitale almaarufu kama
Mkude Simba amemwamgia sifa kedekede mwigizaji mwigine anayefanya
vizuri kwenye upande wa filamu nchini Riyama Ali kama ishara ya kuonesha
upendo wake kwa mwanadada huyo.
Huku akiwa ameweka picha ya mwanadada Riyama, Kitale aliandika
"Huyu mdada mm napenda kumuita kambi popote kwa
maana ya kwamba achagui scene yy ukimpa scene yoyote ile kwake twende
anacheza, ongera kwa hilo kwanza kwa sababu hiyo ndio sifa kubwa ya
msanii kiukweli anajua anastahili sifa maana mpaka anakera mh! cjui
niseme anaboa..!! ww mdada unajua mpka unaboaaaa"
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment