STAA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Alikiba amekanusha kwamba ana ugomvi na nyota wa muziki huo, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ kama ilivyokuwa ikifahamika na wadau wengi wa muziki huo.
alisema.
Alikiba
alisema maadamu anapenda muziki tena akiwa mpenzi wa nyimbo za Diamond,
anampongeza kwa mafanikio makubwa aliyopiga hadi kuing’arisha nchi
kimataifa ikiwamo katika tuzo mbalimbali.
Alikiba
ametamba na ngoma zake kama, ‘Dushelele’, ‘Cindelera’, ‘Mali yangu’,
‘My Everything’, ‘Single Boy’ na nyinginezo ambazo zilimtambulisha na
kufanya vizuri katika tasnia ya muziki huo.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment