| Miili ya marehemu ikiwa katika eneo la dharura katika hospitali ya mkoa wa shinyanga |
| Kwa mujibu wa kaimu mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Shinyanga Dkt Maguja Daniel ameiambia malunde1 blog kuwa mpaka sasa wamepokea miili miwili ya marehemu na majeruhi 29 |
| Huduma inaendelea kutolewa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga |
| Baadhi ya majeruhi wameiambia malunde1 blog kuwa gari aina ya fuso waliyokuwa wamepanda tena kwa kujazana ilikuwa inafukuzana na fuso nyingine na ghafla walijikuta wakiwa wameshapinduka |
| Kulia ni kaimu mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Shinyanga Dkt Maguja Daniel akichukua maelezo kutoka kwa askari wa usalama barabarani |
| Majeruhi akipelekwa wodini |
| Kaimu
mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Shinyanga Dkt Maguja Daniel
akizungumza na waandishi wa habari hivi punde-Picha zote na Kadama
Malunde-Malunde1 blog
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
|
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro















Post a Comment
Post a Comment