Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Gari likiteketea kwa moto jijini Arusha.
Gari hilo likiwa karibu na kituo cha mafuta cha Mount Meru.
Gari la zimamoto lililofika kuuzima moto huo.
Raia wakishuhudia janga hilo.
LORI aina ya Fuso limeteketea kwa moto eneo la Shamsi jijini Arusha jana jioni. Chanzo cha kuteketea kwa lori hilo hakikujulikana mara moja.zitawaijia tuakapo zipata.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top