Wananchi wakiwa wananasua majeraha katika ajali hii iliyotokeo jioni ya leo majira ya saa 11.
katika ajali hii hakuna mtu yeyote aliyepoteza maisha ilihali waliokuwepo walipata majeruhi tu.
Ajali hii imetokea maeneo ya Tegeta kibaoni gari aina ya Mitsubish caster ilijikuta ikihama njia kidogo baada ya kuchomekewa na gari aina ya Landccruser na kusababisha gari hilo kuacha njia na kudodoka.
Gari likiwa limepinduka maeneo ya tegeta kibaoni wananchi wakiwa wanashuhudia tukio hilo.
Raia wakijaribu kuangalia kwa makini kwenye gari kama kuna mtu yeyote aliyenaswa kwenye gari hilo.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment