Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Tukio hili la kustahajabishA limetokea nchini kenya ambapo mbuzi katika hali ya kushangaza alizaa kitoto ambacho kiwiliwili ni cha mbuzi na kichwa ni cha binadamu.

Tukio hilo limezua gumzo miongoni mwa wanakijiji waliohudhuria tukio hilo kwani wengi wanasema ni tukio la kwanza kutokea mtaani hapo, wengi wao wakilihusisha na imani za kishirikina huku wengine wakidai ni miujiza tu ya mwenyezi mungu.

Hata hivyo kimwanambuzi hicho kilifukiwa kwani tayari kilikua kimeshafariki baada ya kuzaliwa




UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top