Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
 
Baadhi ya mastaa wa Bongo Muvi wakiwasili eneo la tukio, Wanachama wa CCM na watu wengine  
Wakiingia eneo hilo huku wakiwa wameongozana na Steve Nyerere
 
Steve Nyerere akiwasalimia wananchi
 
Mmoja wa wageni waalikwa wakizindua shina lililopewa jina Steve Nyerere
 
Steve Nyerere akiwa katika picha ya pamoja na Mike Sangu pamoja na mgeni rasmi
 
Steve Nyerere akifungwa kitenge shingoni na mama yake mzazi
 
....Akiwa katika pozi na silaha za jadi alizokabidhiwa
...Akihutubia wananchi
 
Kundi la Makomandoo la waimbaji Bongofleva wakifanya yao

MWENYEKITI wa kundi la Bongo Muvi Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ jana alisimikwa kuwa kamanda wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ tawi la Bwawani.

tukio la kusimikwa kwa mwenyekiti huyo lilikutanisha  mastaa kibao wa Bongo Muvi pamoja na wananchi mbalimbali waishio maeneo hayo.


(Picha habari: Shakoor Jongo /GPL.)

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA
 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top