Wakiingia eneo hilo huku wakiwa wameongozana na Steve Nyerere
Steve Nyerere akiwasalimia wananchi
Mmoja wa wageni waalikwa wakizindua shina lililopewa jina Steve Nyerere
Steve Nyerere akiwa katika picha ya pamoja na Mike Sangu pamoja na mgeni rasmi
Steve Nyerere akifungwa kitenge shingoni na mama yake mzazi
....Akiwa katika pozi na silaha za jadi alizokabidhiwa
Kundi la Makomandoo la waimbaji Bongofleva wakifanya yao
MWENYEKITI wa
kundi la Bongo Muvi Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ jana alisimikwa kuwa
kamanda wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ tawi la Bwawani.
tukio
la kusimikwa kwa mwenyekiti huyo lilikutanisha mastaa kibao wa Bongo
Muvi pamoja na wananchi mbalimbali waishio maeneo hayo.
(Picha habari: Shakoor Jongo /GPL.)
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro

















Post a Comment
Post a Comment