Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga amesema atajaribu
kukaa na wasanii wa muziki Diamond na Ali Kiba na kuangalia tofauti zao ili kuwapatanisha.



Akizungumza na The Sporah Show hivi karibuni, Kusaga amedai kuwa alikuwa hatambui kama 

wasanii hao wana matatizo kwenye kazi zao na kuahidi kuwa ataliangalia tatizo lao.

“Kiukweli wote ni watoto wangu, Diamond ananipa heshima sana mimi ,namshukuru, Ali Kiba

is the same, nafanya nao kazi na sijawahi kugombana nao. Lakini sijui kama walikuwa wana

tatizo ndo nasikia sasa, lakini ngoja nijaribu kuwapigia ni find out kwanini? na kuna tatizo

gani between wao, lakini sijawahi kujua wana matatizo hayo.”

BOFYA HAPA LIKE PAGE YETU PLEASE

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top