Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


mh zitto kabwe na viongozi wengine wakiwa nanakwenda makaburini kumstili mama mzazi wa mbunge wa kigoma kaskazini mh. zitto kabwe.
mazishi yaliyofanyika leo mchana katika makaburi ya Rubengera  mwanga.
Wananchi wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa marehemu shida salum mama mzazi wa Zitto kabwe  kuelekea kumpumzisha kwenye nyumba yake katika makaburi  ya rubegera jilani na ofisi za ccm za mkoa wa kigoma
Wananchi mbalimbali na wakazi wa mkoa wa kigoma wakienda kumzika marehemu bi shida salum.  
 KIG7
Hapa ndipo kaburi la marehemu bi shida salum mama mzazi wa mh Zitto Kabwe alipozikwa.
waliovaa kavu nyeusi wakiwa ni watoto wa marehemu ambaye ni mbunge wa kigoma kaskazini Mh.Zitto kabwe

kaburi la marehemu Bi shida salum. 10341457_725779150817492_6030092353598289884_n 
Wanafamilia wakiwa  kwenye kaburi la Marehemu bi shida salum 
Watu mbalimbali wakielekea makaburiniLipumba na james mbatia wakiwa makaburini. 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top