Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
                   
                                                Salma Jabu Nisha
KWA mujibu wa baadhi ya mawakala wa filamu hapa Tz ni kwamba mwanadada huyu kwa sasa hakamatiki hapa bongo hususani katika filamu za Vichekesho, Baada ya kufululiza kutoa filamu kadha wa kadha zilizofanya kufuru sokoni sasa hivi apanda bei na kujikuta amekuwa wa gharama kuliko wasanii wote wa kike Bongo Movie's hasa unapotaka kumshirikisha katika filamu yako lazima jasho likutoke.
Mlimbwende huyo ametokea kuvuma sana kwa kipindi kifupi na kuwa na mashabiki lukuki pia hayuko nyuma katika suala la kujitangaza mitandaoni,

Katika ukurasa wake wa instagram akipost chochote huonekana kupata maoni mengi mazuri kutoka wa mashabiki wake, Kitu ambacho kinampa moyo sana katika kazi zake na kujitambua kwamba yeye ni nani na anatakiwa afanye nini?.. Akiongea na mwandishi wa Masai Nyotambofu alifunguka hivi: Mimi hupenda kufanya uchunguzi kwanza kupitia mitandao kwamba nikifanya kipi watu wangu watakifurahia? Nafikiri ndio chanzo kufanya vizuri, Alisema nisha.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top