Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi kwenye
Viwanja vya Kibanda Maiti, mjini Zanzibar, Mei 4, 2014 kueleza kwa nini
CCM inawataka Watanzania kuiunga mkono kuhusu msimamo wake wa kutaka
Tanzania iendelee kuwa katika mfumo wa serikali mbili ndani ya Muungano
wa Tanganyika na Zanzibar baada ya mchakato wa Katiba mpya.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimshukuru na kumpongeza Mama Fatuma Katume kwa hotuba nzuri 'iliyoshiba'.
Ni
serikali mbili tu: Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye,
akionyesha alama inayotumiwa na chama chake kujinasibu kuwa kinahitaji
serikali mbili katika katiba mpya, alipohutubia wananchi katika mkutano
huo wa Kibanda maiti, Mei 4, 2014 mjini Zanzibar.
Kada machacahari wa CCM kutoka Zanzibar, Asha Bakari Machano akihutubia mkutano huo wa Kibanda maiti, Mei 4, 2014.Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro









Post a Comment
Post a Comment