Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Akiwa mtaani
 Nelson Paviott amedhihirisha kuwa anaweza kula kiapo kwani mpaka leo anavaa nguo za rangi ya Nchi yake.
 
Aliahidi kuvaa rangi za kijani,njano,nyeupe na blue na jamaa huyu hakuaishia hapo hata magari yake kayapaka rangi hizo,ofisi yake na hata chakula anadai kula vyenye rangi hizo. Je, wewe unaweza? 
 Humu ni ofisini kwake
 Huwezi kuamini lakini ndo ukweli wenyewe hata kwenye boneti kapaka rangi hizo
 Hayo ni magari yake
 Viatu vyake
Akichagua nguo na tazama saa yake hapo

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top