Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Historia ya maisha ya msanii wa bongo muvi Wastara Sajuki imeonekana kugusa nyoyo za wengi hasa baada ya mtangazaji wa kipindi cha Sporah show kushindwa kujizuia na kudondosha machozi mbele ya camera .Tukio zima hili limetokea hivi punde wakati mwanadada Sporah alipokuwa anaandaa kipindi cha Sporah show huko London Uingereza kama alivo bainisha mwenyewe kwenye ukurasa wake huu.
<<<<<BOFYA HAPA ULIKE PAGE YETU>>>>>   

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top