Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Hii ni Tanzania ambayo kwa sasa Diamond Platnumz ameamua kutuonyesha kwenye ramani ya Dunia,imekua ni good news kwa Tanzania na afrika mashariki kwa ujumla,baadhi ya mastar wa Tanzania wamekubali kutoa ya moyoni baada ya taarifa hiyo miongoni mwao ni pamoja na Mkubwa Fela,Wema Sepetu,Lulu Michael Ay,Belle 9,Vanesa Mdee na wengine kibao. Lakini Kuna kaujumbe kakushangaza kidongo ambako lulu amemuachia Platnumz Pindi atakapofika Marekani!!




  ujumbe huu hapa
Hiv Kweli lulu anamatumaini mpaka leo kutembea na Justin Bieberr??

-tanzanianewz

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top