Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kijana aliyefahamika kwa jina la Emmanuel ambae alikuwa tishio kwa mapenzi ya jinsia moja lakini sasa hivi ametangaza kuachana kabisa na biashara hiyo badala yake anataka kumrudia muumba wake kwani tayari ameshaanza kutubu dhambi zake ili asamehewe, huku akisema kuwa amefanyakazi hiyo kwa muda sana tangu akiwa na umri mdogo na ameshatembea sana na waume za watu.
CREDIT:XDEEJAYZ TANZANIA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top