Daktari wa zamu aliyempokea mgonjwa huyo GODBLESS MASAWE amesema walimpokea jana asubuhi akiwa na fahamu lakini baadae hali ilibadilika na kulazimika kumpeleka katika chumba cha wagonjwa mahututi na kuwa kwa sasa hali yake inaendelea vizuri.
Jeshi la polisi mkoani Arusha kupitia kwa kamanda msaidizi ASP JAPTET LUSINGI amesema bado hawana taarifa kuhusiana na tukio hilo.
Post a Comment
Post a Comment